1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.01.2017 Taarifa ya habari asubuhi

V2 / S12S25 Januari 2017

Kiongozi wa chama cha Social Democratic Union, SPD nchini Ujerumani Sigmar Gabriel amesema hatogombea wadhifa wa ukansela/ Serikali ya Uingereza imetakiwa kuwasilisha mswada bungeni kabla ya kuanzisha mchakato wa kujiondoa katika Umoja wa Ulaya/ Na mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa ya Afrika Cote d'Ivoire wamebanduliwa nje ya michuano inayoendelea nchini Gabon

https://p.dw.com/p/2WLW1