Trump akubali mchakato wa kukabidhi madaraka kwa Biden lakini bado hajakubali kushindwa// Jeshi la Ethiopia linasonga mbele katika mji mkuu wa Tigray, Makele// Mbabe wa vita wa DR Kongo ahukumiwa kifungo cha maisha kwa uhalifu wa kivita// Miaka 12 baada ya ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007, serikali ya Kenya imechukua hatua ya kufungua upya kesi za wahanga wa ghasia hizo.