1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.11.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S24 Novemba 2017

Tunaelekea Zimbabwe tukijikita na mwanasiasa anayeatarajiwa kuwa mrithi wa Mugabe, Emmerson Mnangagwa aliyefukuzwa kazi kama Makamu wa kusababisha mgogoro ulioibuka hivi sasa// Robert Daniel Mugabe alijaribu kila njia za kuchelewesha kuondoka kwake madarakani, akajichimbia, akakaidi ushauri aliopewa, lakini hatimaye alilazimika kusalimu amri na kutangaza kuondoka kwake.

https://p.dw.com/p/2oAxq