Mkutano wa kilele kati ya Urusi na Afrika unamalizika leo// Misri imekubali mwaliko wa Marekani kuhudhuria mkutano wa mawaziri wa Kigeni wa nchi hiyo na Ethiopia na Sudan, kuzungumzia mradi wa bwawa kubwa la kufua umeme kwenye mto wa Blue Nile uliopo Ethiopia// Kenya- Bandari ya Mombasa inatumika katika biashara haramu ya ulanguzi wa wanyama pori hasa pembe za ndovu.