Kumekuwa na maoni mchanganyiko nchini Tanzania juu ya namna Rais Samia Suluhu Hassan alivyowasilisha hotuba yake ya kwanza katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa+++Waasi wa kundi la ADF waliushambulia mji mdogo wa kibiashara wa Komanda katika wilaya ya Irumu mkoani Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+++Rais Erdogan hawezi kusema kuwa amekuwa na mwazo mzuri na rais Biden.