Mahakama ya juu ya Uingereza hii leo imetoa hukumu kuhusiana na mamuzi ya iwapo maamuzi ya waziri mkuu Boris Johnson ya kulivunja ama kulirejesha tena bunge// Viongozi wa dunia leo hii wanakusanyika kwa mkutano wa kila mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa// Viongozi wa nchi zenye nguvu barani Ulaya wameitaka Iran ikubali mazungumzo mapya kuhusu mpango wake wa nyuklia.