1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.09.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S24 Septemba 2019

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amepuuza miito ya kujiuzulu, baada ya uamuzi wa mahakama ya juu zaidi// Wawakilishi wa waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na mpinzani wake mkubwa Benny Gantz wamekutana hii leo// Serikali ya Ghana imesema, taasisi za ulinzi zimefanikiwa kupangua jaribio la kuipindua serikali lililokuwa limekusudiwa ili kudhoofisha nchi.

https://p.dw.com/p/3QB0H