Rais Kenyatta amtaka Makamu wake Ruto kujiuzulu/ Wanawake wanaocheza mpira wa miguu: Matamshi ya Rais wa Tanzania bado yamehanikiza mjadala/ Utata wa muda wa uokozi nchini Afghanistan/ Jeshi la Israeli lalenga ngome za Hamas katika ukanda wa Gaza/ Marekani yamuwekea vikwazo mkuu wa jeshi la Eritrea