1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.08.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S24 Agosti 2020

Tanzania: Mwenyekiti wa wakfu ya Mwalimu Nyerere ameonya mamlaka za dola pamoja na zile zinazohusika na uchaguzi mkuu, kutojitumbukiza katika matendo yatakayowanyima haki wananchi kuchagua viongozi wanaowapenda/ Hali ya kisiasa nchini Belarus/ Pompeo: Marekani itaendelea kuipa kipaumbele Israel/ Sudan Kusini yakabiliwa na mafuriko makubwa/ Mkutano wa chama cha Republican kufunguliwa Charlotte

https://p.dw.com/p/3hQzP