Chama tawala nchini Angola, MPLA leo hii kimedai kuwa kitashinda kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu unaofanyika nchini humo// Mjumbe wa ikulu ya Marekani, Jared Kushner, ameanza duru za mazungumzo na viongozi wa Israel na Wapalestina// Mamia kwa maelfu ya raia wa Yemen wameandamana hii leo katika mji mkuu wa nchi hiyo Sana'a.