Marekani imetangaza kuwa bado itaendelea kushiriki katika majadiliano yanayohusu mabadiliko ya tabia nchi ili kulinda masilahi yake licha ya mpango wake wa kujiondoa kwenye makubaliano yanayohusiana na mkataba wa Paris// Huko Eldoret, Kenya kijana mmoja amevumbua kifaa kinachoweza kuwasaidia watu walio na ulemavu wa mikono na miguu.