1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.07.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S24 Julai 2019

Meya wa zamani wa mji wa London Boris Johnson anatazamiwa hii leo kuapishwa rasmi kama Waziri Mkuu wa Uingereza// Annegret Kramp-Karrenbauer anatarajiwa kuapishwa rasmi hii leo kuma Waziri wa Ulinzi mpya mbele ya Bunge la Ujerumani// Mwanajeshi mkongwe wa Marekani, Mark Esper ameapishwa rasmi kuwa waziri mpya wa ulinzi wa Marekani.

https://p.dw.com/p/3MfM4