1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.05.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S24 Mei 2018

Rais wa Marekani Donald Trump ameufuta mkutano wake wa kilele na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un// Nchini Tanzania, chama cha wananchi CUF kimesema bado Kinasubiri majibu ya wito wa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli ili kusaka suluhu ya mkwamo wa maridhiano ya kisiasa visiwani Zanzibar uliotokea mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2015.

https://p.dw.com/p/2yHN2