1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.03.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S24 Machi 2021

Marehemu Magufuli aagwa kwa majonzi makubwa mjini Mwanza/ Tumezungumza na mwanafamilia mmoja aliyepoteza wapendwa wao katika mkanyagano wakati wa shughuli ya kumuaga marehemu Rais John Magufuli mjini Dar es Salaam / Netanyahu: Mwanasiasa anayesaka kubaki madarakani/ EU kukaza masharti ya kuuza chanjo za COVID-19/ Bado dunia ina kazi kubwa ya kufanya kuudhibiti ugonjwa wa kifua kikuu

https://p.dw.com/p/3r315