Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania unatarajiwa kuwasili jijini Mwanza/ Kenya: Kundi maalum la watoto wasioweza kuona wanashiriki mtihani wa kitaifa kwa matumizi ya breli/ Amnesty International limezikosoa mamlaka za Lebanon kwa kuwatendea unyama Wasyria zaidi ya 20 /Kenya: Shirika moja lisilo la kiserikali limefanikiwa kupunguza kiwango cha madini ya Flouride kwenye maji mtaani Kasarani