Iran yaanza rasmi kuzuia ukaguzi wa vinu vyake vya nyuklia hadi itakapoondolewa vikwazo // Myanmar yajiandaa kwa maandamano zaidi leo dhidi ya utawala wa kijeshi huku shinikizo likiendelea // Na Mgombea wa chama tawala Mohamed Bazoum ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais nchini Niger