Leo ni siku ya mwisho katika siku saba zilizowekwa na Serikali ya Zanzibar kuomboleza kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad / Tanzania: Chama cha ACT Wazalendo kinajiandaa kuanza mchakato wa kumsaka mrithi wa Maalim Seif Sharif Hamad/ Ujerumani ingependa kuwa na mahusiano mazuri na Ethiopia/ Mwanamume halisi project Kenya