Mataifa kadha ya Ulaya yameanza kulegeza marufuku ya safari iliyowekwa dhidi ya Uingereza katika juhudi za kukabiliana na kuenea kwa kirusi kipya cha corona// Polisi Uganda wamkamata mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu ambaye ni mkosoaji wa serikali// Israel imeitisha uchaguzi wa mapema utakaofanyika Machi 23, baada ya bunge kushindwa hapo Jumanne kuidhinisha bajeti ya serikali.