Viongozi wa dini Uganda wataka uchaguzi wa rais uahirishwe kwa sababu za Covid-19 na pia vurugu// Tanzania: Wafanyabiashara walilia hali ngumu ya uchumi// Idara ya afya mjini Hong Kong imesema wanafunzi wawili waliowasili kutoka Uingereza wameambukizwa aina mpya ya kirusi cha corona kinachosambaa kwa kasi nchini Uingereza.