1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.12.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Desemba 2019

Maelfu ya raia wakimbia mashambulizi Idlib// DR Congo- Makundi 32 ya wapiganaji Mai-Mai yanakusudia kusitisha mapigano kuanzia leo Desemba 23 katika mkoa wa Kivu Kusini ili kutoa fursa kwa juhudi za amani// Wakaazi katika kaunti ya Isiolo nchini kenya, wameitaka idara ya jeshi nchini humo kusitisha mpango wa kutaka kujenga kambi tatu za maafisa wa jeshi katika jimbo hilo.

https://p.dw.com/p/3VGsV