Mkutano wa kilele baina ya Urusi na viongozi wa nchi za Afrika/ Mabalozi wa nchi za kiafrika wamekutana na wafanyabiashara wa Ujerumani/ Mahojiano na Juliana Rotich, mshindi wa tuzo ya "German Africa Award 2019"/ Congo: Mgomo wa walimu una athari kwa wakaazi wa eneo hilo na pia kuhusu elimu kwa jumla/ Kenya: Mafunzo ya uzazi kwa shule za msingi na upili