1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.10.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S23 Oktoba 2017

Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika wametoa wito wa kuwepo amani nchini Kenya// Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rex Tillerson amepeleka hoja ya utawala wa Rais Donald Trump kutaka kuitenga na kuidhibiti Iran katika kanda ya Mashariki ya Kati// Vyama tofauti katika jimbo la Catalonia vinatarajiwa kukutana leo Jumatatu.

https://p.dw.com/p/2mLZ6