Nairobi: Shule ya msingi ya Precious Talent imefungwa kwa siku nne hadi uchunguzi utakapokamilika, idadi ya waliojeruhiwa ikifikia 64/ Mkutano wa mabadiliko ya hali ya hewa/ Kanisa katoliki limetowa ujumbe kwa wa utawala wa Burundi kuwataka kuwa mwanga ili kufanikisha uchaguzi wa 2020/ Tanzania: Fatma Karume alisimamishwa kufanya kazi ya uwakili mwishoni mwa juma > Mahojiano