Maelfu ya watu wameandamana mjini Bukavu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wakishinikiza kuachiwa huru Vital Kamerhe// Viongozi watano wa Afrika Magharibi wanakutana leo hii katika jitihada za kuumaliza mkwamo wa kisiasa nchini Mali// Janga la corona lautikisa pakubwa ulimwengu wa Kiarabu// Ujerumani haitishwi na Marekani kuondoa wanajeshi.