Malawi inarudia uchaguzi wa rais leo baada ya mahakama kuyafuta matokeo ya uchaguzi wa mwaka uliopita yaliyompa ushindi Rais Peter Mutharika/ Serikali ya Tanzania imeikosoa polisi ya Uganda kwa kuishikilia dhahabu ya raia wake yenye uzito wa kilo 93 kinyume na sheria na kanuni za usafishaji wa bidhaa kupitia nchi moja kuelekea kwingine/ Kenya/ COVID-19: Sekta ya utalii imeathirika pakubwa