Iran hii leo imeendelea kupinga masharti kutoka Marekani ya kufanyia mabadiliko sera zake za kigeni na mpango wake wa nyuklia// Rais Paul Kagame wa Rwanda leo amekuwa na mazungumzo mjini Paris na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa// Shirika la afya ulimwenguni WHO limeonya kuwa mripuko wa ugonjwa wa Ebola una uwezakano mkubwa wa kuenea huko jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.