Hatua ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kutangaza nia ya kukutana na vyama vya siasa nchini humo imepokelewa kwa hisia mchanganyiko// Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imelaani na kuahidi kuwachukulia hatua za kinidhamu askari waliomshambulia nmwandishi wa habari// Umoja wa Mataifa wasikitishwa na mzozo wa Tigray// Chanjo ya Covid kuwafikia watu wote Ujerumani kufikia mwezi Juni.