1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.04.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S23 Aprili 2021

Rais Joe Biden ameitisha mkutano wa kilele wa siku mbili ili kutangaza kwamba Marekani imerejea kwenye mkataba wa Paris// Mwanawe Deby, Mahamat Idriss Deby, ateuliwa na jeshi kuongoza kipindi cha mpito// Wabunge wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameelezea mashaka yao kuhusu kuongezeka wanajeshi wa kigeni kuongezeka katika eneo hilo.

https://p.dw.com/p/3sV3J