1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.04.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S23 Aprili 2021

Mauaji ya George Floyd yaliyotokea mwaka jana na kufuatiwa na maandamano kwa ujumla vilisababisha wimbi la mageuzi kwenye jeshi la polisi kwenye majimbo mengi nchini Marekani// Wanaharakati wa wanawake nchini China wamekumbwa na wimbi jingine la ukandamizaji// Nchi inayoongoza katika kasi ya maambukizi ya virusi vya corona duniani kila siku, India, inaelekea kutumbukia katika mzozo mkubwa.

https://p.dw.com/p/3sSeO