1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.03.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S23 Machi 2018

Polisi nchini Ufaransa wamempiga risasi na kumuua mtuhumiwa aliyeshika mateka watu kusini mwa nchi hiyo// Nchi wanachama za Umoja wa Ulaya zimekubaliana kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Urusi katika siku zijazo// Chama cha wanasheria wa Tanganyika TLS kimesema kuwa kitafanya uchaguzi kwa sheria zilizochapishwa katika gazeti la serikali.

https://p.dw.com/p/2usAw