Mazungumzo ya kutafuta amani nchini Syria yanaanza tena leo baada ya miezi kumi ya mkwamo// Wakati miji ilioko kandoni mwa Mto Rhein ikijiandaa kwa sherehe za Kanivali zinazoanza hii leo, hatua kali za kiusalama zimechukuliwa katika maeneo muhimu zinakofanyika sherehe hizo// Katika miongo miwili iliyopita, serikali ya Ethiopia imekuwa ikishuhudia mafanikio mazuri ya kiuchumi.