1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.01.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Januari 2019

Congo: Viongozi wa Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika waliashiria kuwa watafanya kazi na rais mteule licha ya kuwa hawakumpongeza moja kwa moja kwa ushindi wake/ Bolsonaro atumia kongamano la Davos kuvutia wawekezaji Brazil/ Waziri wa Ndani Italia awataka Wafaransa wamuondowe Macron/ Maandamano makubwa yaitishwa Venezuela

https://p.dw.com/p/3C1Ht