Shughuli za serikali zaanza kufungwa Marekani kutokana na mkwamo wa bajeti ya ujenzi wa ukuta wa mpakani na Mexico // Shambulizi la bomu karibu na kasri la rais katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu limesababisha vifo vya zaidi ya watu sita // Na matokeo ya mwanzo yanayonyesha kuwa rais wa zamani wa Madagascar Andry Rajoelina anatarajiwa kurejea madarakani