Timu ya Umoja wa Mataifa imewasili Yemen kuanglia utekelezwaji wa mpango wa kusitisha mapigano mjini Hodeida // Watu 17 wameuawa katika mashambulizi ya bomu karibu na makaazi ya rais katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu // Na Maandamano kuhusu hali ya kiuchumi inayoendelea kuwa mbaya nchini Sudan yameingia siku yake ya nne