1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.11.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S22 Novemba 2021

Je, zipo dozi za kutosha kwa kila Mkenya atakayekuwa na hiari ya kupokea chanjo?/ Tanzania: Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali hoja tatu zilizotolewa na upande wa utetezi katika kesi inayowakabili Mbowe na wenzake/ Uganda: Mgomo wa wafanyakazi wa afya Uganda/ Marekani yawekwa orodha ya demokrasia zinazorudi nyuma

https://p.dw.com/p/43LT8