Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi yake itaitekeleza ahadi yake kukilinda kisiwa cha Taiwan, endapo China itakivamia+++Polnad na Umoja wa Ulaya wameshindwa kuafikiana kuhusu mzozo wa sheria za umoja huo+++Rais Kenyatta aamrishwa kuwateua majaji katika siku 14+++Eswatini yapiga marufuku maandamano huku hali ikiendelea kuwa mbaya zaidi.