✍Tanzania na Msumbuji zatia saini mikataba ya kupambana na ugaidi
✍Idadi ya waliokufa katika maandamano yanayoendelea Iran yafikia watu 31. Maandamano hayo yanafuatia kifo cha msichana mwenye umri wa miaka 22, kilichotokea mikononi mwa polisi wa maadili.
✍Wabunge kutoka jamii za wafugaji Kenya sasa waitaka serikali kutangaza kiangazi kuwa janga la taifa.