Tanzania: Lissu afutiwa mashtaka dhidi yake/ Hoja za kufuta kesi dhidi ya washtakiwa Tanzania zina uzito?/ Viongozi wa Afrika wahutubia Baraza la Umoja wa Mataifa/ Kenya: Zaidi ya watu 3,000 wamekufa kutokana na ajali za barabarani tangu kuanza kwa mwaka 2021/ Namibia: Bunge linaanzisha tena mchakato wa majadiliano kuhusu makubaliano ya fidia kati ya taifa hilo na Ujerumani