Hali ya kisiasa nchini Tanzania/ Mahojiano kuhusu mvutano ndani ya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo kufuatia kauli zinazotofautiana miongoni mwa viongozi wa juu wa chama hicho/ Kuongezeka kwa wakimbizi kumesababisha mabishano kati ya Uganda na Tanzania/ Milioni 30 waambukizwa virusi vya corona duniani