1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.08.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S22 Agosti 2017

Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza mkakati mpya wa kijeshi kuhusu Afghanistan na eneo zima la Asia ya Kusini// Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Jim Mattis, amewasili nchini Iraq// Korea Kaskazini imetoa kitisho kikali kuhusiana na luteka za kijeshi kati ya Marekani na Korea Kusini// Maelfu ya raia nchini Kenya wameendelea kuteseka kufuatia uwepo wa mgomo wa wauguzi.

https://p.dw.com/p/2idFB