Trump anatamani matukio ya kisiasa ya mwaka 2016 yajirudie bila kubadilika/ Tanzania: Rais Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo imeutokomeza ugonjwa wa Covid-19 kutokana na maombi> Mahojiano/ Uganda: Mashirika ya kuwahudumia wakimbizi yanakabiliwa na changamoto ya kuwashughulikia watoto ambao hawaandamani na wazazi