Marekani, Uingereza na Norway zimeitolea wito Sudan wa kupatikana makubaliano ya haraka kati ya waandamanaji nchini Sudan na viongozi wa kijeshi kuhusu kuundwa serikali ya kiraia// Mwili wa aliekuwa kinara wa upinzani nchini Kongo ,Etienne Tshisekedi, utarejeshwa mjini Kinshasa alhamisi ijayo kwa ajili ya mazishi ya kitaifa.