1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.02.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S22 Februari 2021

Hatimaye Magufuli akiri Tanzania ina tatizo la COVID-19/ Kabila kupelekewa polisi wa kawaida. Siku moja baada ya hatua hiyo ameonekana akielekea Dubai> Mahojiano/ Tanzania: Kufunga shule eneo la Longido kufuatia hatari ya kuvamiwa na nzige/ Iran, IAEA wafikia makubaliano ya muda kuhusu nyuklia/ Umoja wa Mataifa walaani matumizi ya nguvu Myanmar

https://p.dw.com/p/3ph6p