Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatarajiwa kukutana mjini Brussels katika juhudi za kutafuta majibu ya pamoja dhidi ya azma ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kukitwaa kisiwa cha Greenland / Polisi Uganda imesema imemkamata mbunge na afisa mwandamizi wa chama kikuu cha upinzani, National Unity Platform (NUP)