1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.01.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S22 Januari 2021

Watu mbalimbali wamemkosoa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kwa madai yake kuwa hisia za kikabila ndizo ziliongoza maamuzi ya waliompigia kura mpinzani wake Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine// Uingereza yapiga marufuku wasafiri kutoka Tanzania na kutoka DRC// Utekelezaji wa rasimu ya kwanza kabisa inayopiga marufuku silaha za Nyuklia unaanza Ijumaa.

https://p.dw.com/p/3oHNz