Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya imezua hisia mseto baada ya kuwataka Wakenya kuhakiki iwapo saini walizotia zinaunga mkono mpango wa maridhiano wa BBI// Navalny anashikiliwa kizuizini tangu aliporejea kutoka nchini Ujerumani, alikokuwa anatibiwa baada ya kupewa sumu// Umoja wa Mataifa wafadhaishwa na taarifa za vitendo vya ubakaji katika jimo la Tigray.