1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.12.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Desemba 2018

Tangazo la Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI kwamba imeahirisha uchaguzi linaendelea kuwagawa wakaazi wa mashariki mwa taifa hilo la Afrika ya Kati// Tanzania-Mwenyekiti wa chama cha upinzani, CHADEMA Freeman Mbowe pamoja na Esther Matiko wamerejeshwa rumande hadi Januari 3// Waziri wa Ulinzi wa Marekani Jim Mattis amejiuzulu baada ya kuzozana na Rais Donald Trump.

https://p.dw.com/p/3AUGf