1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.12.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S21 Desemba 2018

Kampeni ya uchaguzi mkuu nchini Kongo itamazikia leo usiku, huku wagombea na wapigakura wakitakiwa kusubiri kupiga kura Desemba 30 ijayo// Rais wa zamani Andry Rajoelina anaongoza dhidi ya mpinzani wake Marc Ravalomanana katika kinyang'anyiro cha kuwania kiti cha rais wa Madagascar// Idadi ya watu waliokufa yaongezeka na kufikia watu tisa huko nchini Sudan.

https://p.dw.com/p/3AVqT