Polisi nchini Ujuerumani wanamtafuta raia wa Tunisia anayeshukiwa kuhusika katika shambulizi la lori kwenye soko la Krismasi mjini Berlin Jumatatu usiku// Kundi la mwisho la wakaazi wanaoishi katika eneo linalodhibitiwa na waasi la Aleppo wanasubiri bado kuhamishwa// Kampuni ya magari ya Volkswagen imefungua kiwanda cha kuunda magari yake nchini Kenya.