1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.11.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Novemba 2019

Wakaazi wa Beni wamegoma kufanya kazi leo, baada ya vijana kuweka vizuizi barabarani kwa ajili ya shughuli ya mazishi ya watu waliouawa na ADF katika mji wa Beni juzi// Leo inatimia miaka miwili kamili tangu mwandishi wa habari Azory Gwanda atoweke katika mazingira ya kutatanisha nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/3TSl1